google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mwijaku ni Kama Mganga wa Jadi Anakula Kote Kote | UDAKU SPECIAL

Mwijaku ni Kama Mganga wa Jadi Anakula Kote Kote

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



🍁Si unaelewa tabia za mganga? Unaweza kwenda kwa mganga kumroga mtu na ukafanikiwa huyo mtu akaenda kwa mganga huyo huyo kutibiwa😂😂 Mganga yeye anaangalia malipo tu

🍁Ndivyo ilivyo kwa Mwijaku, jamaa anakula kote kote, ana siri za pande zote na wote anaishi nao vizuri tu

🍁Akiwa Kondegang anaambiwa tumchafue Diamond na kweli anatoa kashfa kibao mitandaoni

🍁Akiwa kwa Diamond wanavibe kama ukoo wa mzee nyange, ni mwendo wa kusifia Boss tu

🍁Akiwa kwa kiba anapewa kibarua cha kutangaza kiba ndiye King na Top wa Bongofleva, vivo hivyo anafanya😂😂

🍁Huyu ndio mwijaku, hakuna hela anaiacha

UNAHISI MWIJAKU ANAINGIZA PESA NGAPI KWA SIKU?

Msumbufu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad