Mwili wa Binadamu Wakutwa Kwenye Njia ya Kurukia Ndege Nigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya uwanja wa ndege wa Nigeria inachunguza baada ya mwili wa binadamu kukutwa kwenye barabara ya kurukia ndege katika uwanja mkuu wa ndege Lagos.

Mtu huyo ambaye hajatambuliwa aligunduliwa wakati wa ukaguzi mapema Alhamisi asubuhi, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nigeria imesema katika taarifa yake.

Njia ya kurukia ndege ilifungwa kwa takriban saa mbili na nusu ili kuruhusu maiti kuondolewa, ilisema

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad