AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbali na hilo #Nandy amethibitisha ujio ya Festival yake. Akiongea na wana habari wakati anapata ubalozi mpya @officialnandy ameeleza kuwa harusi yao na @billnass tayari vikao vimeanza kwa maana hiyo ipo katika hatua za mwisho.
Kuhusu kuacha kufanya kazi na aliyekuwa meneja wake @mokobiashara amethibitisha kuwa ni kweli amemsimisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK