Ndugai "Sijaukumbuka Uspika, Hakuna Sinto Fahamu na Chama Changu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai akizungumza kuhusu kujiuzulu Uspika amesema "Mungu atajalia, nina amani, pia nawapenda Viongozi wangu wa kitaifa. Niwahakikishie hakuna sintofahamu kati yangu na Viongozi wangu wala chama changu. Ni mambo ya mitandao tu"

Kuhusu kutogombea tena Ubunge Ndugai amesema "Kuna watu ni kawaida yao wakiona kitu cha Ndugai lazima wapotoshe. Hilo jambo jimboni kwangu wanalijua, nilichofanya ni kuwakumbusha tu. Wito wangu tuwe na upendo, siyo kila jambo kupotosha, unafiki na kuchonganisha"

Jamii Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad