Pamba Kuhimili Vishindo vya Simba Leo?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Pamba ya Mwanza leo ina mtihani dhidi ya Simba katika mchezo wa robo fainali kombe la shirikisho la Azam(ASFC)-FA kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Mchezo huo unasubiriwa kwa hamu kuona iwapo ni Simba inayoshiriki Ligi Kuu ya soka Tanzania bara au Pamba inayoshiriki ligi ya Championship itaibuka mshindi.

Mshindi wa mchezo huo wa robo fainali acheza na Yanga katika nusu fainali ya mashindano hayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad