AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vijana wanaodhaniwa kuwa ni Panya road wamewakata mapanga watu 19 katika mtaaa wa Mtongani, Kata ya Kunduchi mkoani Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo Mei 2, 2022.
Tukio hilo limetokea masaa kadhaa tu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alipotoa onyo kwa vikundi hivyo kuachana na tabia hiyo, wakati akihutubia kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika mkoani Dodoma.
Wakizungumza hii leo na East Africa TV mmoja wa majeruhi hao amesema kwamba, vijana hao walikimbilia ndoo ya pesa, huku wakimuwahi kwa kumkata mikono yake ili akose namna ya kupambana nao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK