Papa Asema Amejitolea Kusafiri Hadi Urusi Kukutana na Putin

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Papa Francis anasema amejitolea kusafiri hadi Moscow kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin ili kujadili kuhusu vita nchini Ukraine, lakini bado hajapata majibu


Papa aliliambia gazeti la Italia la Corriere della Sera kwamba alituma ujumbe kwa Kremlin siku 20 baada ya uvamizi wa Urusi, kupitia mwanadiplomasia mkuu wa Vatican.



Ni mara ya kwanza kwa Papa kuitaja Urusi au kumtaja hadharani Putin tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine zaidi ya miezi miwili iliyopita.



Papa pia alisema hivi karibuni aliwasiliana kupitia simu ya zoom ya dakika 40 na mkuu wa Kanisa la Orthodox la Urusi, Baba Mkuu Kirill anayeunga mkono vita, na alitumia dakika 20 za kwanza za simu hiyo kuelezea uhalali wake, aliambia gazeti hilo.



Baba mkuu hawezi kujigeuza kuwa kijana wa madhabahu ya Putin, Papa alisema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad