Rais Samia Atajwa Katika Orodha ya Watu 100 Wenye Ushawishi Mkubwa Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametajwa katika orodha ya watu 100 wenye ushawishi mkubwa duniani, kwa mujibu wa Jarida la TIME 100. Rais Samia ametajwa katika orodha hii kutokana na uongozi wake wa kusisimua tangu alipoingia madarakani Machi 2021.

Ameungana na Marais kutoka nchi nyingine katika orodha hiyo wakiwemo Volodymir Zelenskyy wa Ukraine, Xi Jinping wa China, Vladimir Putini wa Urusi na Joe Biden wa Marekani. Hii inakua mara ya pili kwa Rais Samia Suluhu kutajwa kwenye orodha za majarida makubwa duniani, Disemba mwaka 2021 alitajwa na Forbes kwenye orodha ya wanawake 100 wenye nguvu duniani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad