Rais Samia "Miradi Mikubwa Imejengwa Kwa Pesa za Mikopo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Samia amezungumzia miradi mikubwa ambayo ilikuwa ikitekelezwa wakati wa Hayati John Magufuli kwa kueleza kuwa alikuwa akiijua lakini changamoto ni kwa kuwa ilikuwa ikiendeshwa kwa fedha za mikopo

Amesema "Miradi ilikuwa ya kwetu kwa kuwa nilikuwepo katika Awamu ya Tano na nilikuwemo katika mipango na utekelezaji. Changamoto ni ukubwa wa miradi na uwezo wetu wa ndani"

Rais Samia amefafanua "Kwa tafsiri ni kuwa tumeijenga kwa fedha zetu lakini tulikopeshwa, tatizo ni itaendeleaje? Lakini ni miradi yenye tija"

#JamiiForums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad