AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Rais Samia Suluhu Hassan amesema "Nimeona mitandaoni wiki moja baada ya kuonana na Makamu wa Rais wa Marekani akakutwa na COVID-19
Ameongeza, "Mtanzania akachora katuni mshale kuonesha mimi ndiye nimempa #COVID19. Alivyokwenda ziara kurudi ndiyo akakutwa na Corona. Mnaandika mimi nimempa Kamala COVID-19, mnajiandikia tu. Mie nina Ngozi ngumu, kama mnaandika andikeni tu!"
#JamiiForums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK