Rais Samia "Nina Ngozi Ngumu, Waandishi Niandikeni tu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Rais Samia Suluhu Hassan amesema "Nimeona mitandaoni wiki moja baada ya kuonana na Makamu wa Rais wa Marekani akakutwa na COVID-19

Ameongeza, "Mtanzania akachora katuni mshale kuonesha mimi ndiye nimempa #COVID19. Alivyokwenda ziara kurudi ndiyo akakutwa na Corona. Mnaandika mimi nimempa Kamala COVID-19, mnajiandikia tu. Mie nina Ngozi ngumu, kama mnaandika andikeni tu!"

#JamiiForums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad