Saido "Nitaongea Ukweli Baada ya Mechi ya Simba na Yanga Kumalizika"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Uongo hutembea kwa kasi, ukweli huchelewa kufika, kamwe sitoruhusu mtu yeyote kuchafua jina langu, baada ya mechi nitaongea.

Najua umuhimu wa mechi ya Jumamosi, kwa nguvu za Allah tutapata ushindi. Naipenda sana Yanga" - Said Ntibazonkiza

Hii ni baada ya taarifa za kusimamishwa na klabu ya Yanga kuthibitishwa na Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad