Selasini Asema Bado ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, Asema Hamtambui Simbeye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Joseph Selasini, Mbunge wa zamani wa Rombo kwa tiketi ya Chadema ambaye baadaye alihamia NCCR Mageuzi, amesema yeye ni mwanachama halali wa chama hicho.
Kauli ya Selasini inakuja siku moja baada ya Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uhusiano wa NCCR, Edward Simbeye kueleza kwamba Selasini siyo mwanachama wa chama hicho kwa sababu hajalipia ada ya uanachama kwa takribani miaka miwili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad