AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameandika haya Shaffih Dauda:
Baada ya mijadala yote kuisha lazima tukubaliane, Simba wanahitaji straika kama Fiston Mayele kuelekea msimu ujao, huku Yanga wanahitaji quality za kama Mayele angalau tatu
Kimataifa kuna room ndogo sana ya propaganda, watu wanaweka hela kisha wanaruhusu pesa na muda uongee! Huku tupo kwenye mijadala wakati wenzetu wapo mezani kwa ajili ya msimu ujao
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK