Shaffih Dauda Afunguka Ukweli Mchungu "Simba Wanahitaji Straika kama Fiston Mayele"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ameandika haya Shaffih Dauda:

Baada ya mijadala yote kuisha lazima tukubaliane, Simba wanahitaji straika kama Fiston Mayele kuelekea msimu ujao, huku Yanga wanahitaji quality za kama Mayele angalau tatu

Kimataifa kuna room ndogo sana ya propaganda, watu wanaweka hela kisha wanaruhusu pesa na muda uongee! Huku tupo kwenye mijadala wakati wenzetu wapo mezani kwa ajili ya msimu ujao

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad