google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Shaffih Dauda Awashukia Yanga "Wachezaji ni Binadamu Wana Mahitaji ya Kibinadamu" | UDAKU SPECIAL

Shaffih Dauda Awashukia Yanga "Wachezaji ni Binadamu Wana Mahitaji ya Kibinadamu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mfumo wa mchezaji kutumia robo tatu ya maisha yake kambini sidhani kama upo sawa, naamini Professional ana mkataba wake ambao anapaswa kuhukumiwa kwa matokeo uwanjani, lazima tuwe results oriented

Wachezaji ni binadamu kama walivyo Viongozi wa hizi timu, wana mahitaji ya kibinadamu ambayo ni kawaida, ni lazima kuwe na flexibility ili kukidhi matakwa ya kibinadamu

Sipingani na kanuni za klabu ila modern football lazima tubadilike, uhuru uwepo lakini wenye kukidhi matokeo, ambayo naona kwa anayejitambua atakupa tu matokeo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad