Simba Yapigwa Faini Tena Kisa Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya simba imetozwa faini ya sh 1,000,000(milioni moja) kwa kosa la mashabiki wake kumrushia chupa za maji mchezaji wa Azam Fc Daniel Amoah wakati mchezo wao namba 206 kwenye uwanja wa Azam Complex Mei 18, 2022.

Pia simba imetozwa faini ya kwa kosa la timu yake kuchelewa kutoka kwenye chumba cha kuvalia nguo kwa dakika nne hali iliyosababisha mchezo huo uanze saa 1:04 usiku badala ya saa 1:00 usiku.

Adhabu hizi ni kwa kuzingatia kanuni ya 47:7 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa klabu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad