Simba Yatinga Nusu Fainali kwa Kishindo, Kuwakabili Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kibu Denis akifunga kwa kichwa bao la pili la Simba kwenye pambano dhidi ya Pamba FC

Klabu ya Simba imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho Azam Sports baada ya kuitandika Pamba FC kwa jumla ya mambao 4-0.


Yusuph Mhilu akishangilia moja kati ya mabao yake aliyofunga leo dhidi ya Pamba FC

Mabao ya Simba yaliwekwa kimiani na Peter Banda katika dakika ya 45, Kibu Denis katika dakika ya 48 na Yusuph Mhilu aliyefunga mabao mawili katika dakika za 53 na 89.

 

Kwa matokeo hayo klabu ya Simba itakutana na mahasimu wao Yanga katika pambano la nusu fainali ya kombe hilo huku
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad