Snoop Dogg Alipoteza Fahamu Baada ya Kumuona 2 Pack Akiwa Mahututi Hospitalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Snoop Dogg amefunguka kwamba alipoteza fahamu baada ya kumuona Tupac Shakur akiwa mahututi hospitali mara baada ya kupigwa risasi September 7, 1996.

Akizungumza kwenye podcast ya Logan Paul ‘Impaulsive’ Snoop Dogg amesema kabla ya kufika alihisi mambo yataenda kuwa sawa lakini baada ya kumuona mshkaji wake anapumulia mpira ndipo alihisi hali sio shwari.

Mama mzazi wa Tupac Shakur alimchukua na kumpeleka bafuni kwa ajili ya kuzungumza naye namna ya kuwa imara juu ya jambo lile. Baadaye Snoop alirejea kwenye nguvu na kwenda kuzungumza na Tupac ambaye walikuwa marafiki wakubwa. Na hiyo ilikuwa ndio mara ya mwisho kuzungumza naye, September 13 alitangazwa kufariki.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad