SONGWE: Wauguzi Wadaiwa Kusababisha KIFO Cha Mtoto Mchanga Kwa Uzembe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wauguzi katika Kituo cha Afya Tunduma wanatuhumiwa kusababisha kifo cha Mtoto Mchanga kwa mazingira ya uzembe

Mama wa Mtoto amesema “Nilipopata uchungu sikupatiwa huduma nzuri. Wakaja Wauguzi Wanafunzi ambao hawakunihudumia vizuri licha ya kuwaita mapema. Mtoto alizaliwa salama, wakamchukua na kumrejesha asubuhi akiwa na jeraha kichwani na analia sana”

Mkuu wa Wilaya ya Momba, Fakh Lulandala ameagizwa kuunda Timu ya Kuchunguza tukio hilo kwa kuwa siyo mara ya kwanza kupokea malalamiko ya Wananchi kuhusu hospitali hiyo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad