TCRA Yachunguza Malalamiko Kuhusu Vifurushi vya Simu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya malalamiko mitandaoni kuwa Kampuni za Mawasiliano ya Simu Nchini Tanzania zimefanya mabadiliko na kupandisha gharama za vifurushi vya intaneti bila kutoa taarifa kwa Wateja wao, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inafuatilia

TCRA imesema "Tumeona malalamiko kutoka kwa Wadau mtandaoni kuwa watoa huduma wa Mitandao ya Simu wamebadilisha vifurushi kimya kimya, endapo kuna mtumiaji amenunua kifurushi, halafu akapata tofauti na kile alicholipia, awasiliane nasi. Mamlaka inafuatilia suala hili kwa watoa huduma ili kuweza kubaini ukweli"


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani nyie hamnunui mkaona hadi wadau wathibitishe??

    ReplyDelete

Top Post Ad