Teni Kuwatafutia Uraia wa Marekani Mbwa wake Wanne

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ni Headlines za msanii wa Nigeria Teni Entertainer ambaye ameweka wazi kutaka kuwatafutia Uraia wa Marekani Mbwa wake wanne wanaofahamika kwa majina ya Tyg'r, Marley, Cindy na Nala.

Pia Teni ameeleza kuwa kupata hati za kusafiri kwa mbwa kunampa 'stress' zaidi kuliko alivyofikiria na anataka kwenda nao Marekani ndiyo maana anawatafutia uraia mbwa wake hao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad