AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakiwasilisha hotuba yao katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mbele ya Rais Samia Suhumu, TUCTA imependekeza kiwango hicho ili kuwezesha Wafanyakazi na Wategemezi wao kuishi
-
Wamesema Kima cha Chini cha Misharaha kimendelea kuwa duni licha ya gharama za maisha kupanda, mathalani kwa Sekta Binafsi (Watumishi wa majumbani) ni Tsh. 40,000/- hadi Tsh. 60,000/-. Kwa wafanyakazi wa Umma kima cha chini ni Tsh. 315,000/-
-
TUCTA imefafanua kuwa Wafanyakazi hawajaongezwa mishahara kwa miaka 9 kwa Sekta Binafsi na miaka 7 kwa Sekta za Umma hali iliyosababisha kupungua hari ya kufanya kazi na kupunguza ufanisi mahali pa kazi
#JamiiForums #MeiMosi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK