Tukio la Kupatwa kwa Mwezi Mei 15 & 16

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Siku ya leo usiku na kesho Mei 16 huenda likatokea tukio la kupatwa kwa mwezi kwa mujibu wa utafiti wa NASA, ambapo mwezi utakua karibu na Dunia na utaonekana kwa ukubwa zaidi ukiwa na rangi nyekundu.

Tukio hilo linatabiriwa litatokea tena Novemba 8 mwaka huu.

Tovuti ya timeanddate.com imeandika tukio hilo litaonekana vizuri katika baadhi ya sehemu Duniani ambapo bara la Ulaya litaoneka kwa nchi za magharibi, bara la Marekani kaskazini, na Afrika. 

katika mji wa Dar es salaam tukio hilo litatokea saa 10:32 alfajiri na saa 11:27 alfajiri. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad