Habari Kama Hizi Zinapatikana UDAKU SPECIAL App, Download HAPA Bure: Link here>>>
“Tumecheza na Yanga mechi zote mbili tumeshindwa kufunga bao, tumecheza na Berkane ugenini hatukufunga na tukaja hapa tukafunga moja tu, tumecheza na Pirates mechi mbili na tumefunga bao moja tu, hii ina maana kuwa bado tunashindwa kufanya vizuri dhidi ya timu KUBWA” Pablo Franco, Kocha wa Simba
Kocha anasema dhidi ya timu kubwa basi Simba ina shida, ukweli mchungu sana
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE
________________________________
Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE
0 Comments