Ukweli Mchungu, Yanga Wanaonekana BORA Kutokana na Anguko la Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Unaongelea timu ambayo kwenye mechi ya Mwananchi ilifungwa na Zanaco,timu ambayo kwenye Michuano ya Shirikisho ilifungwa Nyumbani na Ugenini bila kupata hata goli moja ikiwa na Mshambuliaji huyu huyu,haikupata matokeo kwenye Mechi ya Kirafiki ya Kimataifa na Somalia kwenye Uwanja wa Nyumbani"

"Unamwongelea Mshambuliaji wa Kimataifa Mayele ambaye ana magoli sawa na akina George Mpole na Lusajo."

"Tunaweza kusema Yanga inaonekana kwamba ni nzuri lakini hii ni kutokana na Anguko la Simba"George Job, Mchambuzi wa Michezo Wasafi FM.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad