Video zinaonesha Mtanzania Milionea Aliyeuawa Marekani Alikuwa Kama Amechanganyikiwa Kabla ya Tukio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taasisi ya upelelezi ya jimbo la Georgia, GBI inaendelelea kuchunguza kile kilichosababisha Mtanzania Rogers Kyaruzi apigwe risasi na kuuawa na polisi wa huko Atlanta, nje ya mgahawa maarufu uliopo katika kitongoji cha Buckhead. Video mpya za usalama kutoka kwenye mgahawa huo zimeonesha kile kilichotokea kabla ya tukio hilo. Endelea

VIDEO:




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad