Vipofu Wawili Wapendani Kwa Dhati na Kuamua Kufunga Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wawili hao pichani ambao wote hawaoni kabisa(blinds) wamefunga ndoa. Mwanaume anaitwa Thankgod na ni mwanasheria nchini Nigeria wakati mke wake huyo kwa jina la Amarachi ni mwajiriwa wa serikali katika wizara ya elimu nchini humo


Mwanaume amesema alijaribu kuvunjwa moyo aliposema anataka kuoa lakini akaweka msimamo wake kwani anajua nini anataka katika maisha. Amesema japo wote yeye na mkewe wake huyo hawaoni lakini wanapendana kwa dhati na kila mmoja wao amekuwa msaada kwa mwenzake


Harusi yao imefungwa kanisa la St.Peters nchini humo na kuhudhuriwa na viongozi wa kikatoliki si chini ya 15 wakiwemo pia viongozi wa kiserikali


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad