Wanaorekodi Video za Majeruhi na Miili ya Marehemu Kwenye AJALI Waonywa ‘Wanajifanya Waandishi’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mkoani  Morogoro Ngollo Malenya ameonya baadhi ya watu ambao wamekuwa na tabia ya kurekodi matukio katika ajali badala ya kupiga Simu jeshi la zimamoto na kusabisha madhara makubwa  kwa Wananchi.

DC Malenya ametoa onyo Hilo wakati akifunga kilele Cha maadhimisho ya Zimamoto mkoani Morogoro ambapo amesema kumekua na tabia sio ya kizalendo ya watu kupiga picha majeruhi,au maiti katika matukio ya ajali na kuyasambaza katika mitandao ya kijamii huku wao wakiwa hawana taaluma ya habari   hivyo wametakiwa kuacha mara moja kwani Jambo Hilo Ni kinyume na maadili  na sheria za mitandao ya kijamii.

Kwa taarifa zaidi unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad