Waziri Mkuu afafanua watumishi walioachishwa kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amelieleza Bunge, kuiacha tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye kazi yake kushughulikia stahiki za watumishi walioachishwa kazi kwa madai ya kukosa cheti cha kidato cha nne.

Hatua hiyo inatokana na swali la mbunge wa Ushetu, Emanuel Peter Cherehani, aliyetaka kujua kauli ya serikali kuhusu watumishi walioondolewa kazini kwa madai ya kutokuwa na cheti cha kidato cha nne.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad