AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye Bungeni leo amesema hadi kufikia Aprili 30, 2022 jumla ya anuani za makazi 12,171,320 zimekusanywa na kuingizwa kwenye programu tumizi.
“Idadi ya anuani zilizokusanywa ni 104.3% ya lengo la jumla ya anuani 11,676,891 zilizopangwa kukusanywa katika Mikoa yote nchini, matumizi ya programu tumizi yamewezesha kubaini maeneo mengineyo yaliyokuwa hayajabainishwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa”- Waziri Nape
“Kufuatia malengo ya Serikali ya kukamilisha anuani za makazi kabla ya Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Mwezi Agosti, 2022, Rais Samia alielekeza mfumo huo kutekelezwa kwa operesheni, aliyoipa jina la “Operesheni Anuani za Makazi”- Waziri Nape
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK