Waziri Nape asimama bungeni Dodoma azungumza haya kuhusu anuani za Makazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye Bungeni leo amesema hadi kufikia Aprili 30, 2022 jumla ya anuani za makazi 12,171,320 zimekusanywa na kuingizwa kwenye programu tumizi.

“Idadi ya anuani zilizokusanywa ni 104.3% ya lengo la jumla ya anuani 11,676,891 zilizopangwa kukusanywa katika Mikoa yote nchini, matumizi ya programu tumizi yamewezesha kubaini maeneo mengineyo yaliyokuwa hayajabainishwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa”- Waziri Nape

“Kufuatia malengo ya Serikali ya kukamilisha anuani za makazi kabla ya Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Mwezi Agosti, 2022, Rais Samia alielekeza mfumo huo kutekelezwa kwa operesheni, aliyoipa jina la “Operesheni Anuani za Makazi”- Waziri Nape
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad