Zuchu Afikisha Watazamaji Milioni 72

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Video ya sukari ya msanii Zuchu imefikisha zaidi ya watazamaji milioni 72 katika mtandao wa youtube kwa mwaka mmoja na Miezi mitatu.

Zuchu anakuwa msanii wa kwanza wa Tanzania (solo) kufikisha jumla ya watazamaji hao na video hiyo ilitolewa Mwezi Januari 2021.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad