AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Video ya sukari ya msanii Zuchu imefikisha zaidi ya watazamaji milioni 72 katika mtandao wa youtube kwa mwaka mmoja na Miezi mitatu.
Zuchu anakuwa msanii wa kwanza wa Tanzania (solo) kufikisha jumla ya watazamaji hao na video hiyo ilitolewa Mwezi Januari 2021.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK