AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umefikia makubaliano na kampuni ya Azam Marine ya kutoa huduma ya kuvusha abiria kati ya Magogoni na Kigamboni mkoani Dar es Salaam.
TEMESA imesema lengo ni kuendelea kuwapa wananchi huduma za uhakika wakati huu ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.
Aidha, umeshauri wananchi kuacha kutumia mitumbwi kuvuka, ili kulinda usalama wao
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK