Azam Marine Kuvusha Watu Magogoni – Kivukoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umefikia makubaliano na kampuni ya Azam Marine ya kutoa huduma ya kuvusha abiria kati ya Magogoni na Kigamboni mkoani Dar es Salaam.

TEMESA imesema lengo ni kuendelea kuwapa wananchi huduma za uhakika wakati huu ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.

Aidha, umeshauri wananchi kuacha kutumia mitumbwi kuvuka, ili kulinda usalama wao
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad