JIUNGE NA GROUP LA TELEGRAM LA AJIRA YAKO KUPATA AJIRA MPYA ZINAZOTANGAZWA KILA SIKU BONYEZA HAPA
Barbara Gonzalez CEO wa klabu ya Simba akizungumza na waandishi wa habari leo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam amesema “ukubwa klabu sio tu kwenye usajili ukubwa wa klabu ni kukua kwa uchumi, wadhamini wakiongezeka na miundombinu inaongezeka.
0 Blogger:
Post a Comment