Breaking News: Harmonize Amvalisha Pete ya Uchumba Kajala Masanja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Tayari wawili hao wameshavalishana pete za uchumba na kinachofuata ni ndoa ambayo bado haijajulikana ni lini.

Kajala Masanja ni mkristo huku mpenzi wake Rajabu aka Harmonize akiwa ni muislam.

Leo muda mchache baada ya kuvalishana pete, Harmonize alionekana akitumia ishara ya msalaba hali ambayo imezaa maswali mengi kwamba atakuwa amebadili dini kumfuata Kajala.

Una mazamo gani kutokana na hiyo video hapo chini?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad