Breaking: Yanga Yampitisha Injiani Hersi Ally Said Kuwa Mgombea Pekee Urais Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kamati ya Uchaguzi Yanga SC leo imetaja orodha ya Wagombea waliopitishwa kugombea nafasi mbalimbali katika Uongozi wa Yanga SC ambapo Injinia Hersi Ally Said @caamil_88 amekuwa Mgombea pekee aliyepitishwa kuwania Urais wa Club hii huku nafasi ya makamu wa Rais yakipita majina mawili ya Arafat Haji na Suma Mwaitenda.

Hata hivyo katika nafasi ya ujumbe wa kamati ya Utendaji ambapo kwa mujibu wa katiba ya Yanga itakuwa na wajumbe watano yamepitishwa majina 22 kati ya 27 likiwemo jina la Mbunge wa Manonga Seif Khamisi Gulamali.

Majina matano yaliokatwa kwa kigezo cha kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo vya kikatiba ni pamoja na Ayubu Shaibu Nyenzi, Sindilo Lyimo, Mustapha Salumu Himba, Kara Remtullah na Tobias Bosco Lingalangala

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad