google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Bwalya atambulishwa rasmi Amazulu | UDAKU SPECIAL

Bwalya atambulishwa rasmi Amazulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




ALIYEKUWA Kiungo mshambuliaji wa Simba, Rally Bwalya ametambulishwa ramsi leo Juni 23 na klabu yake mpya ya Amazulu Fc ya nchini Afrika Kusini.

Bwalya anaungana na wachezaji wengine 10 waliosajiliwa na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu ikiwa ni sehemu ya uboreshaji wa kikosi chao cha msimu ujao akiwemo beki Thendo Mukumela (24) akitokea Cape Town Spurs, Veluyeke Zulu (27) anayetokea na Riaan Hanamub (27) wote wakitolea Chippa United

Wengine ni Winga Dumisani Zuma (27) anayetoka Kaizer Chiefs, Mnigeria Augustine Kwem (24) akitokea TS Galaxy pamoja na Mmalawi Gabadinho Mhango (29) anayetokea Orlando Pirates.

Bwalya alijiunga na Simba Agosti 2020 akitokea Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu ambapo sasa amesalia na mmoja huku ikidaiwa amesaini miaka miwili na Amazulu hivyo atacheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad