Diamond Diamond "Namshukuru Diamond Platnum Hajasema Mengine"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa Yanga SC, Haji Manara, amesema msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz anajua changamoto alizopitia na anamshukuru kwa kujizuia kusema.

Manara amesema hayo Juni 16, 2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaamu.

"Diamond kama rafiki yangu anajua changamoto ambazo mimi nimezipitia nilipokua kule.

"Tunaongea muda mrefu na amejizuia kusema kama alivyoandika mwenyewe amejizuia kusema.

"Lakini anayeyajua yeye kama alivyowaambia na nimeshukuru kwamba hajasema mengine haya tunamwachia Mwenyezi Mungu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad