Diamond Platnumz Namba 4 Afrika...Afunguka Kuhusu Kifo Chake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Supastaa Diamondplatnumz anaendelea kutunisha misuli Kimataifa akiiwakilisha vyema Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla kwenye orodha ya wasanii 10 toka Afrika wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni.


Jina la Diamond linashika namba 4 kwenye orodha hiyo ambapo nafasi nyingi zikitawaliwa na wasanii wa NIGERIA.


Aidha boss huyo wa WCB, kupitia insta story yake ame-share orodha hiyo na kueleza kwamba siku akiondoka duniani, basi bendera ya Tanzania itaacha kupepea kwenye anga la Kimataifa Kimuziki katika top 10, pengine labda top 100.


"Kiufupi ikitokea nimekufa 🇹🇿 haipo hapo. Pengine top 100 inshallah 🙏" - ameandika Diamond Platnumz.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad