AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva @princedullysykes usiku wa jana kwenye tukio la @officialshetta alipata wasaa wa kuongea na wana habari na kueleza kuwa:
“Kwa sasa kiukweli yeye anataka kuoa na mwanamke anayemtaka ni mlinda mlango asiwe mfanyakazi akihofia mambo mengine.
Mwanamke mlinda goli namaanisha mwanamke ambaye atakuwa anaangalia familia pia ambaye hataangaika na DM za instagram yeye ni kuangalia familia tu na sio vinginevyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK