Dully Sykes: Nataka kuoa mwanamke ambaye ni golikipa, sitaki kuoa anayefanya kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva @princedullysykes usiku wa jana kwenye tukio la @officialshetta alipata wasaa wa kuongea na wana habari na kueleza kuwa:

“Kwa sasa kiukweli yeye anataka kuoa na mwanamke anayemtaka ni mlinda mlango asiwe mfanyakazi akihofia mambo mengine.

Mwanamke mlinda goli namaanisha mwanamke ambaye atakuwa anaangalia familia pia ambaye hataangaika na DM za instagram yeye ni kuangalia familia tu na sio vinginevyo.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad