google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Familia ya Professor Jay yamshukuru Rais Samia eatv.tv | UDAKU SPECIAL

Familia ya Professor Jay yamshukuru Rais Samia eatv.tv

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Familia ya aliyewahi kuwa mbunge wa Mikumi Joseph Haule, maarufu kwa jina la Professor Jay, leo imetoa shukrani zake kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kwa maamuzi yake ya kusema kwamba matibabu ya ugonjwa wa Professor Jay yatasimamiwa na serikali.

Wakizungumza hii leo Juni 10, 2022, jijini Dar es Salaam, mke pamoja na mdogo wa Professor Jay, wamewashuru pia Watanzania kwa sala na michango yao ya hali na mali waliyokuwa wakiitoa kwa siku zote 127 alizokuwa akitibiwa Professor kwenye hospitali ya Taifa Muhimbi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad