Flora Mvungi Amcha Vibaya H Baba "Unajiita Baba Huku Wanao Wanalelewa Ukweni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwigizaji wa filamu na mwimbaji nchini, msanii Florah Mvungi ametumia ukurasa wake wa Instagram kutupa jiwe gizani kwa maneno pambe akiwalenga wababa wenye tabia ya kuwatelekeza watoto wao ukweni, akiwaambia kwamba "Baba" sio jina la ubatizo wapambane.


Hata hivyo ujumbe huo umepokelea kwa maoni tofauti huku ikidhaniwa ni ujumbe mahususi unaomlenga mzazi mwenzake ambaye ni mwanamuziki H.Baba.


"Unajiita baba halafu wanao wanalelewa ukweni 😏pambana wewe! Baba sio jina la ubatizo mfyuuu. Watoto wanatembea na baraka zenu wababa, mnaweza mkawa mnapata mikosi kila siku kumbe laana za watoto 👌👌. Usitafute mchawi wala hujalogwa, tengeneza na Mungu kwanza," - Unasomeka ujumbe wa @florahmvungiofficial1 kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Ikumbukwe, Florah na H.Baba pamoja wana watoto wawili ambapo Florah na wanae makazi yao ni jijini Dar es salaam huku H.Baba akiishi jijini Mwanza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad