AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bei mpya za mafuta kwa mkoa wa Dar es Salaam zilizotangazwa na EWURA na zitaanza kutumika rasmi kuanzia kesho june 1, na hii ni baada ya serikali kutoa ruzuku.
Petroli: TZS 2,994
Dizeli: TZS 3,131
Mafuta ya Taa: TZS 3,299
Viwango vya bei endapo serikali isingetoa ruzuku;
Petroli: TZS 3,301
Dizeli: TZS 3,452
#KitengeUpdates
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK