AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara, amemualika msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond platnumz kutumbuiza katika kilele cha wiki ya wananchi.
Haji kupitia ukurasa wake wa kijamii wa instagram leo ameandika...✍️
"Ndiyoooooo, mwamba tuombe uhai tu, lakini kilele cha wiki ya wananchi, inakungoja wewe mwanaume tunatarajia show kubwa zaidi kuwahi kufanyika Tanzania toka tupate uhuru"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK