Haji Manara, Amemualika Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz Kutumbuiza Wiki ya Wananchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara, amemualika msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond platnumz kutumbuiza katika kilele cha wiki ya wananchi.

Haji kupitia ukurasa wake wa kijamii wa instagram leo ameandika...✍️

"Ndiyoooooo, mwamba tuombe uhai tu, lakini kilele cha wiki ya wananchi, inakungoja wewe mwanaume tunatarajia show kubwa zaidi kuwahi kufanyika Tanzania toka tupate uhuru"


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad