Haji Manara "Ninazo Habari za Uhakika Kuwa Zanadine Zidane Amesikitishwa Pablo Kutimuliwa Simba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hajis Manara "Nnazo taarifa za uhakika kabisa, Zinadine Zidane amesikitishwa sana na kitendo cha kumpa barua ya michongo Kocha Pablo kilichofanywa leo na uongozi wa Makolo, hususan kumpa barua isiyoonyesha tarakimu za malipo yake.

Akiongea na kituo cha Television moja huko Burma 🇲🇲, Zidane maarufu kama Zizou ambae alifanya kazi na Pablo Real Madrid,,amesema Kocha huyo maarufu kama Mmadrada ,ni Kocha mzuri mno na angeweza kuifikisha mbali sana Kolo fc na kuwa Club kuuuuuubwa kuliko Liverpool au Barcelona,,ila Makolo wana haraka na kiherehere kingi.

Pia huko Duniani kumetokea Mshtuko mkubwa sana juu ya nchi yetu,, wanauluza hv ni kweli Tanzania tumefikia dharau hii? Tumepata wapi nguvu ya kumfukuza Kocha toka Madrid?

Ila nimepenyezewa habari,,hivi punde kolo fc watamleta Jack Jigi Jigi
alikuwa Msaidizi wa Pep Guardiola ,,kuwa Kocha mpya wa team hyo yenye Mipango mingi hewa na ya kichupli kichupli 🤪🤪

Karibu Jigi Jigi 🙏🏻🙏🏻"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad