Haji Manara "Mashabiki Njooni Kwa Mkapa Siku ya Jumatano Mshuhudie Tukichukua Ndio"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu Yanga imewataka mashabiki wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Juni 15, 2022 siku ya Jumatano dhidi ya klabu ya Coastal Union ya Tanga utakaochezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Wanahabari, Afisa Msemaji wa Yanga Haji Manara amesema wachezaji wanapenda kuona mashabiki wanajitokeza kwa wingi ili kutoa hamasa kwa wachezaji ili waweze kushinda mchezo na kutangazwa kuwa mabingwa wapya msimu wa 2021/22.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad