google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html "Hakuna Askari aliyefukuza mwananchi"- Serikali | UDAKU SPECIAL

"Hakuna Askari aliyefukuza mwananchi"- Serikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali imesema kwamba hakuna Askari yeyote aliyekweda kumfukuza mwananchi wa Loliondo kwenye eneo lake, bali kinachofanyika ni zoezi la uwekaji wa mipaka kati ya hifadhi na eneo la wananchi.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Juni 12, 2022, Jijini Dodoma, na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa.

"Kinachofanyika Loliondo hakuna Askari aliyekwenda kumfukuza mwananchi wa Loliondo aondoke kwenye eneo lake, lile eneo lina KM za mraba 4000 serikali kwa makubaliano na wananchi tulitenga eneo la KM 2500 litumiwe na wananchi na KM 1500 libaki kwa ajili ya hifadhi," amesema Msigwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad