Harmonize Apagawa na WIMBO wa Sarafina "Upo Nyonyo" Kisa Kajala Masanja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


'Real Recognize Real' hivyo ndivyo unavyoweza kusema, hii ni baada ya mwimbaji @saraphina__tz kumshukuru @harmonize_tz kwa kusapoti wimbo wake mpya uitwao "UPO NYONYO" kwa kujirekodi akiimba wimbo huo.


"Y’aaaaaaallll 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 @harmonize_tz , thank you so much for your support 😩😩😩😩😩 🙌🏻🙌🏻 bless u 🙏" ameandika Saraphina kupitia ukurasa wake wa Instagram.


@harmonize_tz alishare kipande cha video akiiambia wimbo wa Saraphina kupitia insta story yake akiwa na Dj wake, Dj Seven na kuisindikiza na maneno kuwa wimbo huo mpenzi wake @kajalafrida anaupenda sana mpaka amesababisha na yeye aupende.


"My woman love this song (Upo Nyonyo) kila siku. Yoo is a banger, nasikiliza all night. Ukirudi (Kajala) utanikuta nishaishika Upo Nyonyo. Someone tell Queen Fina, this is another anthem @saraphina__tz " - ameandika Harmonize.


"Upo Nyonyo" ni wimbo wa TATU kwa Saraphina kuuachia mwaka 2022, na umapata mapokezi makubwa kwa mashabiki wake. Nyimbo zake nyingine ni pamoja na "Wamerudiana" na "Number One" alizoziachia mapema mwaka huu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad