AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huyu ndio seneta na mke wake wanaotuhumiwa kula njama na kumpeleka kijana wa mtaani mwenye umri wa miaka 15 nchini Uingereza ili kumtoa figo na kumpa mtoto wao wa kike mwenye matatizo ya figo.
Wawili hao walikamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Heathrow.
Seneta huyo alikutwa na pesa taslimu takribani shilingi milioni 58.
Nwanneka Ekweremadu (55) na Ike Ekweremadu (60) ni raia wa Nigeria. Ike amekuwa Mwanasiasa maarufu sana kwa miaka 19 na amewahi kushika wadhifa wa juu wa uongozi.
Mtoto ambaye alisafirishwa kwa ajili ya kutolewa viungo sasa yuko salama mikononi mwa polisi.
Kesi yao ilianza kusikilizwa jana na hivi sasa imeahirishwa hadi Julai 7 , wawili hao wamerudishwa rumande.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK