AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwamba wa Kaskazini Joh Makini amesema hakuna kiki wala drama yoyote ya msanii ambayo imewahi kumshangaza au kumshtua tangu waanze kufanya matukio yao.
"Hakuna drama wala kiki yoyote ambayo imewahi kufanywa na wasanii wa Bongo ikawahi kunishtua au ikanifanya nikaiamini, wanajua ni kwa sababu gani wanafanya hata watu wengine unakutana nao wakati wanapanga hiyo mipango kabla ya kwenda Public"
"Binafsi najua ni kutengeneza Attention ili watu wasikilize miziki yao lakini sijawahi kushtushwa na kiki wala drama yoyote ya msanii yeyote hapa Bongo" ameongeza
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK