Kesi ya Sabaya Yahairishwa...Sababu Hizi Zatajwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa Mkuu wa Wilya ya Hai Mkoani Kilmanjaro Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne leo Juni 20, 2022 wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kwa ajili ya kesi yao kutajwa.

Lengai na wenzake hao wamefikishwa mahakamani hapo ikiwa ni muendelezo wa keshi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi. Hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa.

Kuahirishwa kwa kesi hiyo kumetokana na maelezo ya Wakili wa upande wa mashtaka, Verediana Mlenza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kibali kutoka ofisi ya DPP na hati ya kuipa mahakama mamlaka ya kuendelea na kesi hiyo bado hakijatolewa.

Kesi ya hiyo ya uhujumu uchumi imeahirishwa hadi Julai 4, 2022.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad