Kimenuka..Faiza Ally Amtaka Mke wa Sugu Kufuta Picha ya Mtoto Wake Kwenye Page yake ya Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Mke wa Sugu kupost picha Instagram Akiwa na Shasha mtoto wa Faiza Ally Pamoja na Rais Samia, Faiza Ameibuka na Kuandika Meneno haya Hapa chini:

"Naamrisha mwanangu afutwe kwenye page ya mke wako !!! Kila mtu Ana watoto wake SITAKI NA MWANANGU ….. naombeni muende kwenye page ya baba Sasha mwambieni amwambie mke wake afute Picha ya mwanangu SIMPENDI STAKI UNAFKI !!!! #temporalypost

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad