AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Mke wa Sugu kupost picha Instagram Akiwa na Shasha mtoto wa Faiza Ally Pamoja na Rais Samia, Faiza Ameibuka na Kuandika Meneno haya Hapa chini:
"Naamrisha mwanangu afutwe kwenye page ya mke wako !!! Kila mtu Ana watoto wake SITAKI NA MWANANGU ….. naombeni muende kwenye page ya baba Sasha mwambieni amwambie mke wake afute Picha ya mwanangu SIMPENDI STAKI UNAFKI !!!! #temporalypost
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK